May 08, 2017

 Image result for godbless lema
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amedai kubaguliwa wakati wa kuuaga miili ya wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent waliofariki kwa ajali. Lema amedai yeye kama Mbunge wa Arusha Mjini, alistahili kupewa nafasi ya kutoa salamu za rambirambi kitu ambacho hakikufanyika.
 



0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE