
moodewji Inasikitisha kuwa uongozi wa Klabu ya Simba umesaini mkataba wa udhamini wa muda mrefu bila kunishirikisha. Kwa muda mrefu nimeweka nguvu zangu kwenye klabu.
Ameandika Dewji kwa masikitiko makubwa

Mtendaji
Mkuu wa SportPesa Tanzania, Pavel Slavkov (kulia) akimkabidhi jezi mpya
Rais wa Simba SC, Evans Aveva (katikati) jioni ya jana Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam kuashiria kuanza rasmi kwa udhamini wa kampuni hiyo katika
klabu hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Tarimba Abbas.
Siku ya jana Club ya Simba imeingia mkataba wa udhamini na kampuni ya SportPesa wa kuidhamini Club hiyo kwa muda wa
0 MAONI YAKO:
Post a Comment