1- Massimiliano Allegri-Juventus
2- Carlo Ancelotti-Bayern Munich
3- Antonio Conte-Chelsea
4- Luis Enrique-Hispania
5- Pep Guardiola-Manchester City
6- Leonardo Jardim-AS Monaco
7- Joachim Low-Ujerumani
8- José Mourinho-Manchester United
9- Mauricio Pochettino
10- Diego Simeone-Atletico Madrid
11– Tite-Brazil
12- Zinédine Zidane-Real Madrid
Upigaji kura unaanza Agosti 21 na kufungwa Septemba 7 mwaka huu, kura zitapigwa na Makocha wa timu za Taifa, Manahodha, baadhi ya Wawakilishi kutoka vyombo vya Habari mbalimbali vitakavyoteuliwa pamoja na Mashabiki kwa Mujibu wa FIFA.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment