Ikiwa leo ni Augost 13, kama ilivyo ada sikunkama ya leo kila mwaka, Mwanamuziki Fid Q, huwa anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Kumbuka kwamba Fid Q alizaliwa Augost 13 katika Hospitali ya Bugando mkoani Mwanza Tanzania.. Fid Q ambaye jina lake kamili ni Fareed Kubanda ameachia wimbo wake mpya unaitwa Ulimi Mbili hapa akiwashirikisha Maua Sama, Hard Mad na Nuruelly
Ushirikishwaji wa wafanyakazi ni muhimu katika utekelezaji wa sera za afya
na usalama kazini
-
KILA ifikapo Aprili 28 ya kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya Kimataifa
ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi kwa lengo la kuhamasisha afya na usalama
wa w...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment