August 12, 2017


Ikiwa leo ni Augost 13, kama ilivyo ada sikunkama ya leo kila mwaka, Mwanamuziki Fid Q, huwa anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Kumbuka kwamba Fid Q alizaliwa Augost 13 katika Hospitali ya Bugando mkoani Mwanza Tanzania.. Fid Q ambaye jina lake kamili ni Fareed Kubanda ameachia wimbo wake mpya unaitwa Ulimi Mbili hapa akiwashirikisha Maua Sama, Hard Mad na Nuruelly

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE