Tamasha la 15 la Sauti za Busara nimefunguliwa rasmi na gwaride la
Carnival kuanzia maeneo ya Kisonge Town hadi Michenzani huku
likinogeshwa na vikundi mbalimbali kama vile Festival Dance Mob, Haba na
Haba kutoka jijini Dar Es Salaam, na vikundi vya ngoma za asili
kisiwani hapa.
Samia kuzindua kampeni ya ‘Mimi na Wewe’ Mei 21 Unguja, Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili mjini Unguja – Zanzibar
akitokea mkoani Dodoma ambapo hapo kesho anatarajiwa kuzindua ya kampeni
maalum inayojulikana kama Mimi na Wew…Read More
Rais Donald Trump atua Saudi Arabia
Raisi wa Marekani Dolnad Trump amefanya ziara yake katika nchi ya Saudia
, huku ziara hiyo ikitarajiwa kuwa ya siku nane tu, itakayo shirikisha
nchi za Israel,Palestina,Ubelgiji,Vatican na Sicily.
Rais Trump yupo katika …Read More
Mchezaji bora ni Mohammed hussein wa Simba
Mchezaji wa timu ya Simba SC,
Mohamed Hussein amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom
wa mwezi Mei kwa msimu wa 2016/2017.Hussein aliwashinda wachezaji Haruna
Niyonzima wa Yanga na Shabani Idd wa A…Read More
Nay amjibu Mwakyembe ‘muziki na siasa vyote ni maisha ya watu’
Baada ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe kuwataka wasanii wa muziki nchini kuacha kufanya muziki ambao una uhusiano na siasa, rapa Nay wa Mitego amefunguka kuhusu kauli h…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment