Tamasha la 15 la Sauti za Busara nimefunguliwa rasmi na gwaride la
Carnival kuanzia maeneo ya Kisonge Town hadi Michenzani huku
likinogeshwa na vikundi mbalimbali kama vile Festival Dance Mob, Haba na
Haba kutoka jijini Dar Es Salaam, na vikundi vya ngoma za asili
kisiwani hapa.
New Audio| Bex- Haibu
Mwanamuziki BEX kutoka mkoani Morogoro, safari hii amekuletea bonge ya wimbo uliompa Haibu. Unataka kujua aibu gani? Sikiliza hapa chini
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment