Tamasha la 15 la Sauti za Busara nimefunguliwa rasmi na gwaride la
Carnival kuanzia maeneo ya Kisonge Town hadi Michenzani huku
likinogeshwa na vikundi mbalimbali kama vile Festival Dance Mob, Haba na
Haba kutoka jijini Dar Es Salaam, na vikundi vya ngoma za asili
kisiwani hapa.
MWANAUME KAMA HUJUI KUTUNZA UTABA KUITAGA SHEMEJI
Sasa leo nataka niseme kitu kimoja kwenu wanaume,
Mwanamke mzuri anahitaji pesa jamani,usitegemee utampata mwanamke mzuri
kwa sasa hivi kama hauna mkwanja mrefu,hilo sahau kabisa,
Vinginevyo …Read More
HAPPY BIRTHDAY 2 YOU DIDA FACION
Leo Th 23 may 2014 ni siku ya kuzaliwa dada yetu mpendwa na mdau wa burudani DIDA FACION.
ubalozini.blogspot.com inaungna na Familia ya Dida katika siku hii muhimu kukutakia Maisha marefu yenye kheri na baraka t…Read More
USIKU WA MANGWEA MOROGORO, KIMENUKA (love concert)
Kuelekea maadhimisho ya Tamasha maalum la kumkumbuka mfalme wa FREE STYLE Tanzania Marehemu Albert Mangwe, baadhi ya maeneo ya Mjini Morogoro tayari kishanuka. Katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyi…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment