Kutoka Morogoro Town au vijana wanaita Mor Town, yule mkali wenu wa kuandika, kuimba na kupangilia sauti, Mr. Kinyulinyuli kama wengi wanavyotamani kumuita ila mimi namwita Sameer, ameika toka alipojificha. Wimbo wake mpya huu hapa unaitwa Sawa amefanya katika studio za Mahewa Record chini ya Producer Willy Matajili
SERIKALI YAZINDUA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP KWA FANI ZA SAYANSI YA DATA,
AKILI UNDE NA SAYANSI SHIRIKISHI
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda akipata maelezo
kutoka kwa Mkuu wa Kituo cha Tehama Rasimali (ICT-RC) katika Taasisi ya
NM-AIST...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment