Kutoka Morogoro Town au vijana wanaita Mor Town, yule mkali wenu wa kuandika, kuimba na kupangilia sauti, Mr. Kinyulinyuli kama wengi wanavyotamani kumuita ila mimi namwita Sameer, ameika toka alipojificha. Wimbo wake mpya huu hapa unaitwa Sawa amefanya katika studio za Mahewa Record chini ya Producer Willy Matajili
Picha & Video ; MATI SUPER BRANDS LTD YAVUNJA REKODI YA USHIRIKI MEI MOSI
MANYARA, MULOKOZI ASEMA “TANZANIA NI ENEO SALAMA NA RAFIKI KWA UWEKEZAJI”
-
Msafara wa magari ya Kampuni ya MATI Super Brands LTD ukipita katika
maandamano ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ngazi
ya Mkoa wa ...
3 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment