May 01, 2018


                                  
Msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Fid Q ameteuliwa na Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA) kuwa mwenyekiti wa kamati ya fedha, mipango na uchumi.

              
Baada ya uteuzi huo Fid Q amesema; ‘Ni matumaini yangu tutaenda mkono kwa mkono kama majukumu na fursa,”.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE