May 08, 2018

 
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kufanya uchaguzi wa kujaza nafasi za viongozi wake waliojiuzulu ikiwemo ya Mwenyekiti kwa wakati kwani tayari muda umeshapita.Agizo hilo limetolewa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF Revocatus Kuuli  na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Herman Julius akimtaka kuhakikisha klabu ya Yanga na nyingine zinafanya uchaguzi haraka iwezekanvyo.Mbali na Yanga klabu nyingine zinazotakiwa kufanya uchaguzi kwasasa ni  AFC ya Arusha ambayo inashiriki Ligi daraja la kwanza  na Coastal Union ya Tanga ambayo imerejea ligi kuu msimu huu.Y...

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE