Tamasha la Fiesta, ndilo Tamasha linalotambulika kuwa ni tamasha kubwa la burudani nchini Tanzania. Katika msimu wa Fiesta , mambo mengu huandamana na tukio hili kubwa la kihistoria. Lakini katika Fiesta ya mwaka jana, lilitokea tukio la aina yake na kuwaacha wasanii wakichanganyikiwa. Ebu tazama hii video hapa chini
MARA ONLINE TV YAKABIDHI 'SMART TV' MANGA SECONDARY
-
CEO wa Mara Online, Jacob Mugini (aliyevaa suti), akikabidhi Smart TV kwa
walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Manga.
Wanafunzi na walimu wa Shule ya ...
11 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment