Tamasha la Fiesta, ndilo Tamasha linalotambulika kuwa ni tamasha kubwa la burudani nchini Tanzania. Katika msimu wa Fiesta , mambo mengu huandamana na tukio hili kubwa la kihistoria. Lakini katika Fiesta ya mwaka jana, lilitokea tukio la aina yake na kuwaacha wasanii wakichanganyikiwa. Ebu tazama hii video hapa chini
HANDENI MJI YATOA MIKOPO YA MIL. 531/- KWA VIKUNDI 127
-
Na Augusta Njoji, Handeni TC
HALMASHAURI ya Mji Handeni mkoani Tanga imetoa mikopo yenye thamani ya Sh.
milioni 531.1 kwa vikundi 127 vya wanawake, vi...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment