June 21, 2012

Utadhani ni baba anampa kichapo mwanae lakn sio hvyo huyo n msanii akipewa kichapo na producer wake, jina la producer na Deey Classic anafanyia kazi zake kwenye studio ya Rock Town Record iliyopo jijini Mwanza maeneo ya Natta, na msanii anaitwa Young Killer kwa jina lingne anaitwa Lily-K.
Mziki kazi kweli kweli najua cku dogo akiwa na jina hatolisahau 2kio hli. 
Photo: Utadhani ni baba anampa kichapo mwanae lakn sio hvyo huyo n msanii akipewa kichapo na producer wake, jina la producer na Deey Classic anafanyia kazi zake kwenye studio ya Rock Town Record  iliyopo jijini Mwanza maeneo ya Natta, na msanii anaitwa Young Killer kwa jina lingne anaitwa Lily-K.
Mziki kazi kweli kweli najua cku dogo akiwa na jina hatolisahau 2kio hli.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 Habari  na  picha: 
       kwa  hissani  ya  petter   Isuti  Mioyo  mwanza 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE