July 21, 2012

 

Mwimbaji wa  mziki wa  bongo  freva  toka  moro  criss  wamarya ameahidi  kuupeleka  wimbo  wake  Media Wiki  ijayo.  Criss  amesema  baada  ya  kuifanyia  vedeo  na  kupata  ushauri  wa  wadau  mbalimbali  sas  muda  umefika.
      " kaka   nimeon  sasa  ni  muda muafaka  wa kuiachia hii  ngoma  kwani  maoni y  watu  wengi  wamenishauri  hivyo pia  nawe  nashkuru  kwa  ushauri  wako" amesema  criss  wa  Marya   alipokuwz anazungumz  na  mdau  mmoja  wa  mziki mkoani Morogoro   julikanaye  kama  Taita  la  mzumbe.  nilipojalibu  kumhoji  amesema  i kweli  na  pia  "  nilikaa  na  salim Chuma Aliyekuwa  meneja  wangu,  pia  amefurahia  video  na  ameahidi  kun  sapot  kwani ssa  ni  poa "  ameniambia  criss.
        Pia  anaomba  sapota  kwa  wadau  wa  mziki  huu  waweze  kumfikisha  mbali  amekili  kwa kusema kwani  mziki bila  wadau  hauwezi  kukufikisha  malengo.
  
Big  up  criss  wamarya
 Habari  hii ni  kwa  hissani ya  Gulam  Mhedu

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE