August 21, 2012

 
  
        MAALIM SEIF AKIMUOMBEA DUA BI KIDUDE


.Licha ya kuwa ametoa mchango mkubwa wa sanaa katika tasnia ya muziki hapa nchini, wasanii na
waandaaji wa matamasha mbali mbali waliokuwa wakimtumia wamemtelekeza msanii maarufu Bi Fatma Binti Baraka (Bi. Kidude) kutokana na hali yake ya kuumwa, ambapo hadi sasa yupo kitandani na
hajiwezi.
Ankal naomba uwafikishie ujumbe huu wasanii wote na waandaaji wa matamasha waliokuwa
wakifanya kazi na bi Kidude kwani anaumwa sana.
Imetoka kwa wadau katika kitongoji cha zanzibar!

 Wasanii  wote  wa  tasnia  ya  mziki  kwa  umaja  wenu  tunawaomba  mchukue  muda  huu  katika  kumsaidi  ki  hali  na  mali  bi  kidude  ili  aweze  kurejea  katika  hali  yke ya kawaida.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE