Ray C ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hakuja Tanzania kutafuta
Bwana wa Kuolewa nae kama watu wanavyosema mitaani...amefunguka na
kusema kuwa amerudi Dar kwa ajili ya kupumzika na kazi pia . Ray C
alihamia nchini Kenya baada ya kuona ana Support kubwa ya Mashabiki
kuliko Tanzania ..Hivi karibu ataachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa
jina la Moyo Waniuma.
Neema ya Barabara kuikuta Mtwara - Masasi
Wakazi wa Mtwara Masasi wanaenda kuandika Historia ya Barabara, baada ya serikali kuahidi kujenga barabara hiyo yenye urefu wa km 210 kwa kiwango cha rami. Katika post yake Mkuu wa mkoa wa Mtwara bi Halima Dendego…Read More
News: Mama Salma Kikwete ateuliwa kuwa mbunge
Taarifa kutoka Ikulu Jijini Dar Es Salaam zinasema kuwa, Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi na kumteua mke wa Rais mstaafu wa Tanzania mama Salma Kikwete kuwa mbunge …Read More
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment