September 01, 2012


Wimbo mpya wa Ben Paul ,Pete uliotoka August 2012 utafanyiwa video South Africa au Kenya. Ben Paul amefunguka kuwa ana Plan A na Plan B ya video hii. Plan A Ni kufanya video na Ogopa wa Kenya na Plan B ni kufanya video na Adam Kutoka Tanzania ila video watakwenda kufanya nchini South Africa kama alivyo fanya Ommy Dimpoz.Skilizia Updates zaidi kuhusu hichi kichupa kupitia Power Jams Ya East Africa Radio.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE