Dyna akiingia jukwaani FIESTA 2012 Bhaass Morogoro
Kufuatia kutajwa tarehe rasmi ya SERENGETI FIESTA 2012 Dar es salaam ambayo itahudhuliwa na mwana HIP HOP toka U.S.A Rick Rozzy, wasanii watakaofanya show siku hiyo, wamehaidi mambo makubwa zaidi.
Akizungumza na Ubalozinirespect.blogspot.com, mkali wa muziki wa bongo Freva Toka mji kasoro mwana dada Mwanaisha Saidi Nyange almaarufu kama Dayna Nynge (mkali wao) Amesema mashabiki watakaohudhuria siku hiyo wataraji makubwa zaidi ya yale yaliyotangulia. Dayna amesema yeye pamoja na kundi lake la wakali crasic, wamejiandaa vya kutosha kwa ajili ya kuwapa mashabiki ladha zaidi ya kile wanachokitarji
" Nafanya mazoezi ya kutosha ili nisiharibu, nataka kuwapa mashabiki wangu burudani zaidi ya ile wanachotarajia, ni kazi nzito lakini kwa ushirikiano na wacheza show wangu wakali classic, na mashabiki kwa dua zao itawezekana", Amesema Dayna mwisho akimaliza na kusem Bhaaaaassssss!!!!!!!!!!!!.
Kufuatia kutajwa tarehe rasmi ya SERENGETI FIESTA 2012 Dar es salaam ambayo itahudhuliwa na mwana HIP HOP toka U.S.A Rick Rozzy, wasanii watakaofanya show siku hiyo, wamehaidi mambo makubwa zaidi.
Akizungumza na Ubalozinirespect.blogspot.com, mkali wa muziki wa bongo Freva Toka mji kasoro mwana dada Mwanaisha Saidi Nyange almaarufu kama Dayna Nynge (mkali wao) Amesema mashabiki watakaohudhuria siku hiyo wataraji makubwa zaidi ya yale yaliyotangulia. Dayna amesema yeye pamoja na kundi lake la wakali crasic, wamejiandaa vya kutosha kwa ajili ya kuwapa mashabiki ladha zaidi ya kile wanachokitarji
" Nafanya mazoezi ya kutosha ili nisiharibu, nataka kuwapa mashabiki wangu burudani zaidi ya ile wanachotarajia, ni kazi nzito lakini kwa ushirikiano na wacheza show wangu wakali classic, na mashabiki kwa dua zao itawezekana", Amesema Dayna mwisho akimaliza na kusem Bhaaaaassssss!!!!!!!!!!!!.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment