October 04, 2012

Elemotho
Ni Elemotho Gaalelekwa ndio mshindi wa tuzo  za RFI France 24 Discoveries za mwaka 2012 ambazo msanii  toka  hapa  Nyumbani  Lameck Ditto naye  alishiriki. Msanii huyu kutoka Namibia ambaye kwa sasa yupo Ujerumani kikazi Silvia Sala alisema wamepokea habari hizi Jumanne na wamefurahii sana na kushkuru mashabiki wa Namibia.Leo kupitia Power Jams ya East Africa Radio,Msanii wa bongo fleva aliyekuwepo kwenye tuzo hizo aliongea nakusema Elemotho ndio mshindi na msanii huyo anakazi nzuri sana ndio maana ameshinda na ana stahili ushindi


Elemotho Ni mwandishi Wa nyimbo na mwanamuziki. 
Kwa  upande  wake  msanii Ditto  toka  Tanzania  aliandika  katika  ukurasa  wake  wa  facebook, akimpongeza huku aki aidi kujipanga  zaidi..
Winner Wa RFI Discoveries Award ni Elemotho From Namibia........... Amestahili... Nami pia namshukuru Mungu Kwa nafasi niliyopata ambayo imenifanya niendelee kuamini nitayafikia malengo yangu ktk african Music miaka michache ijayo..... ASANTENI KWA KUNIPIGIA KURA........
Like ·

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE