Kati ya wasanii wengi wa
bongo fleva na wa Movie ambao wamefanikiwa kupata watoto ni pamoja na Calvin Ponela maarufu kama Mc Calvin,Amabye alikuwa ni mshiliki wa Maisha Plus napia ni Mtangazaji wa Radio Planet Fm Mjini Morogoro na
huyu ndie binti yake aitwaye NAOMI ambaye kwa kumtazama tu ni Cavin
mtupu.
Hongera sana kwa kuwa
baba,ila mtoto wa kike huyo so jiandae kwa ulinzi mkali na kukimbizana
na vijana hahahahahaha.Ila toto la kweli sana.
Breaking!! Mtoto Abakwa Na Kutiwa Jiti Sehemu Za Siri
Kijana mmoja mwenye umri wa Miaka Kumi na Tano [ 15] ameshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa kumbaka Mtoto mwenye umri wa Miaka Miwili na Nusu na kumsababishia Maumivu…Read More
Official Video: Nandy - Kivuruge
Mwanamuziki Nandy, kutokea Tanzania House of Talent T H T, ameachia video ya wimbo wake wa Kivuruge.Anakupa muda wako wa kuitazama hapa chini na aweza ku download pia
&n…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment