Kati ya wasanii wengi wa
bongo fleva na wa Movie ambao wamefanikiwa kupata watoto ni pamoja na Calvin Ponela maarufu kama Mc Calvin,Amabye alikuwa ni mshiliki wa Maisha Plus napia ni Mtangazaji wa Radio Planet Fm Mjini Morogoro na
huyu ndie binti yake aitwaye NAOMI ambaye kwa kumtazama tu ni Cavin
mtupu.
Hongera sana kwa kuwa
baba,ila mtoto wa kike huyo so jiandae kwa ulinzi mkali na kukimbizana
na vijana hahahahahaha.Ila toto la kweli sana.
Kolabo ya Madee na Tekno ipo tayari
Meneja
wa Tip Top Connection, Babu Tale amesema msanii wake Madee tayari ana
ngoma 6 mpya ambazo hazitatoka, ambapo moja kati ya hizo ni kolabo yake
na Tekno.
Akizungumza
katika kipindi cha The Playlist cha Tim…Read More
Shy-rose BhanjI awaasa wanaotafuta ajira
Wakati niko Dawasco mwaka 2005 kuna makampuni makubwa kama 6 walinipa job offers ikiwemo NMB. Hata hivo NMB ndio walikuwa na mshahara mdogo kuliko wote...nikaona si issue so nikachagua NMB kwa vile ilikuwa haijul…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment