October 15, 2012

Mc Calvin Na Mtoto wake Naomi
Kati ya wasanii wengi wa bongo fleva na wa Movie ambao wamefanikiwa kupata watoto ni pamoja na Calvin Ponela maarufu kama Mc Calvin,Amabye alikuwa ni mshiliki wa Maisha Plus napia ni Mtangazaji wa Radio Planet Fm Mjini Morogoro na huyu ndie binti yake aitwaye NAOMI ambaye kwa kumtazama tu ni Cavin mtupu.
Hongera sana kwa kuwa baba,ila mtoto wa kike huyo so jiandae kwa ulinzi mkali na kukimbizana na vijana hahahahahaha.Ila toto la kweli sana.


 kWA HISANI YA CHUMA BLOG

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE