Kati ya wasanii wengi wa
bongo fleva na wa Movie ambao wamefanikiwa kupata watoto ni pamoja na Calvin Ponela maarufu kama Mc Calvin,Amabye alikuwa ni mshiliki wa Maisha Plus napia ni Mtangazaji wa Radio Planet Fm Mjini Morogoro na
huyu ndie binti yake aitwaye NAOMI ambaye kwa kumtazama tu ni Cavin
mtupu.
Hongera sana kwa kuwa
baba,ila mtoto wa kike huyo so jiandae kwa ulinzi mkali na kukimbizana
na vijana hahahahahaha.Ila toto la kweli sana.
Taarifa kuhusu kukamatwa kwa wafuasi wa Chadema
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi atoa ufafanuzi kuhusu kukamatwa kwa wafuasi
11 wa CHADEMA ambapo amesema taarifa za kukamatwa kwa raia hao ni potofu
na zina lengo la kuwafitinisha wa Ikungi na wananchi wa jimbo la
Singida Mash…Read More
Ulinzi alikolazwa Lissu kuboreshwa
Rais wa Jamhuri ya watu wa Kenya Mh. Uhuru Kenyata ameagiza kuboreshwa kwa ulinzi katika Hospitali aliyolazwa mbunge wa Singida Mash. Mh. Tundu Lissu aliyepelekwa nchini humo kwa ajili ya matibabau baada ya kujeru…Read More
Manji atoa sababu za kugoma kuvuliwa udiwani
MFANYABIASHARA Yusuf Manji ameieleza Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu leo September 9, 2017 kuwa yeye bado ni Diwani wa Kata ya
Mbagala Kuu na kudai kuwa hatambui kuvuliwa udiwani kama ilivyotangazwa
na Mstahiki Mey…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment