November 13, 2012

              

                                            Dayna  Nyange  katika  poz

 

Msanii wa kizazi kipya almaarufu kama Dyna baada ya kutamba na ngoma zake kama Fimbo,Nivute kwako,Unataka nini sasa leo
Latest info
kutoka kwa msanii huyu ni kwamba baada ya kukutana naye aliweza kufunguka na kuelezea kwamba hisia zake katika game la muziki ilikuwa aje kuimba muziki wa Hip Hop kwani msanii kutoka marekani almaarfu kama Eve ndiye alimfanya kupelekea kupenda kazi za Hip Hop lakini alishindikana kwani alijikuta akiimba ngoma za kawaida baada ya kupata ushauri kutoka kwa marafiki zake.Baada ya kumaliza kusema hivyo pia aliweza kusema kwamba soon anatarajia kufanya suprise kwa mashabiki wake katika video mpya inayokuja lakini akuweza kuitaja  ila alipenda kuwambia mashabiki wake  mkao wa ujio mpya wa Dyna.

Kwa  hissani  ya  dj Fetty

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE