December 19, 2012

 
Wakati Video mpya ya Diamond 'KESHO' ambayo imeanza kuonekana kwenye mtandao wa internet  jana usiku, ilivuja kimakosa na kusambaa kwa watu. 
Diamond kupitia kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio leo amesema kampuni ya Ogopa Djs ya nchini Kenya ambao ndio wametengeneza video hiyo waliitupia   
walii-upload video hiyo youtube kama njia ya kumtumia Diamond na uongozi wake waitazame kwanza kama iko sawa kabla ya makabidhiano rasmi.

Akaendelea kusema baada ya Diamond kutumiwa link ya video hiyo na kuitazama aligundua baadhi ya makosa na kuwaomba Ogopa warekebishe, na baadhi ya makosa ni pamoja na titles za video zinazoonyesha producer wa wimbo ni Wasafi Entertainment na huku aliefanya wimbo huo ni Marco Chali wa Mj Records.

Diamond aliendelea kufunguka kuwa baada ya kukubaliana na Ogopa waliiondoa kwenye youtube video hiyo lakini ilikuwa too late kwani tayari watu walikuwa wameishai download na kuiweka katika akaunti zao binafsi.

Diamond alimalizia kwa kusema video rasmi ya 'Kesho' itatoka rasmi Ijumaa ya wiki hii na pia bado yeye na management yake wanajadiliana kama itoke video na audio pamoja ama video peke yake.

Related Posts:

  • TID AHUSISHWA KUPANGA NJAMA ZA KUMUUA ALI KIBA Habari ambazo zimesambaa mtaani hasa  Jijini Dar es salaam, zinamhusu msanii wa muziki wa kizazi Ali Kiba, inasemekana kwamba Hivi karibuni Familia yake inayoishi Kariakoo karibu na Club ya Soccer ya YANGA, e… Read More
  • SHANGWE ZA FIESTA KANDA YA ZIWA                          Mkali  wa  top  20 toka  clouds   fm Deejay&nbs… Read More
  • R.I.P MAMA YETU MPENDWA BI HAWA NGULUME Tulikupenda  ila  mungu  kakupenda  zaidi     Pumzika  kwa  amni   Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya za Kinondoni, Mbarali na Bagamoyo, Mama Hawa Ngul… Read More
  • ALICHOKIANDIKA KALA PINA facebook KUHUSU SENSA   KalApina Kikosi Cha Mizinga enyi waislam enyi mlio amini hakuna kuhesabiwa sensa mpaka hii serikali dhalimu na vibaraka wake kama bakwata mpaka serikali ikubali madai yetu kama kufungwa jela ama kukamat… Read More
  • ZERO FT. MR. BLUE ZERO FT. MR. BLUE (NEW JOINT RELEASED) New talent kwa jina la Zero kutoka Mkoani morogoro. Ni masanii ambaye kwa kweli naweza sema ni wa pili kwa uwezo wa ki-RnB mkoani Morogoro ambaye anakuja kumuweka belle 9 kat… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE