December 07, 2012


Jackline Wolper mwanadada wa Bongo Movie jana usiku aliwaalika wadau wengi katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika ukumbi wa Synergy Lounge uliopo Oysterbay, Wadau embu tuone mambo yalivyokuwa..

 Barafu na Richie Mtambalike.

 Juma Chikoka(Chopa) akiwa na mdau Dulla.

 Baadhi ya wanachama wa Bongo Movie wakiwa na furaha..

 The Greastest(wa katikati),Dr.Cheni wa  na Chid Benzi mwanamuziki wa kizazi kipya..

 Maya..

 Irene Uwoya.

 Dr. Cheni kwenye pozi.



 Shamsha Ford.

 Jackline Wolper akiwa na Mke wa Mtitu William..

 Ino Bachard na Lyana Kinyoraa.

 Mtitu akiwa na mkewe..

 Bata zikiendelea.

  Petiman wakuache

Mambo yakizidi kupamba  moto.

 Sinta    kam  hayupo!!!


 Monalisa ...


 Bata la kufa mtu....


 Mauuuuuuuuuuuaaa


 Wadau wakisakata rumba...
 
Hii  ndiyo  ile   Cake  yetu  sasa.


 Misosi ya kumwaga..

 Gelly wa Rymes   ndni ya  nyumba

Kijana wangu Inno Bacahard akiwa na Mariam Ismail..

Bataaaaaaaaaaaaaa..

Kalunde Band walitoa burudani ya kufa mtu..

Kisaaaaaaaaanga Chief..

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE