December 08, 2012

NASSA
     

Mkali  toka mji kasoro bahari Morogoro, Nassib  Ally  Mahitana Nassa amefunguka  kwa wakongwe ndani ya muziki wa kizazi kipya kuwa wajiandae na mapinduzi makubwa yanayotarajiwa kuletwa na chipukizi wa muziki huo katika mwaka ujao
Nassa ambaye   kwa  sasa  anatamba na wimbo  wake  wa  ‘Kila Nabii’ iliyolekodiwa ndani ya studio Mahewa records chini ya producer Wille

NASSA  AKIONESHA  ALAMA  YA  USHINDI
 Akifunguka na ubalozinirespect.blogspot.com .com kuwa kumekuwa na tabia ya wasanii wakubwa kukwapua aidia au nyimbo za wasanii wachanga na kuzitumia kisha kutamba kuwa ni za kwao lakini katika mwaka ujao jambo hilo litapatiwa dawa.
“Unajua nilichokiona kwenye gemu mwaka huu ni tabia ya wasanii wakubwa kukopi aidia ya nyimbo za wasanii wachanga na kuzitumia, hili ni jambo baya lakini katika mwaka ujao naamini hakutakuwa na uwezekano wa wao kufanya hivyo” alisema Nassa.
Pia   Nassa  amewashuru  mashabiki  wa  mziki  kwa  kumpokea  vizuri  na  kumsapot   katika  nyimbo  alizokuja  nazo ambazo  ni Mastaa,  Nivumile, na  wimbo  unaotamba  sasa  wa  kila  nabii

Uskilize  hapa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE