January 21, 2013
7:23 AM
Machaku
No comments
From The Bottom Of My Heart...
Dear My fans(Team Diva)
Napenda chukua muda huu wa saa 2:36am ku share na kuwashukuru Wote Mnaonipenda on how Appreciative am to yall Team Diva,Friends,loved ones............nawapenda sana.
Safari yangu ya Miaka 4 Katika Radio imenifunza so much.
given me faith ya believing na kuvaa vitu ambavyo miaka 4 iliopita nisingeweza Kuvaa Moyo ninaouvaa sasa Hivi.....Man am strong Sana but yote sababu yako wewe ambae unakaaga masaa 2 usiku kunisikiliza and making me number 1.......................Or Lord i love you.Damn u guys are so Special nawappenda sana Ahsante kwa Kuichagua Cloudsfm na Ahsante kwa Kunisikiliza.May God bless you sana.
Ile Kunitaja tu ni BLESSING TO ME,i dont take for granted hio kitu asiwadanganye mtu.Hio Ni zawadi tosha and thank you Thank you Far too kind.
Thank you for Every Tweet U send naona sema nyingi najitahidi though Replying all but hata kama sijawahi jibu Keep Tweeting who knows kuna siku Ntajibu.facebook ofcoz u too Lil Angels love ya all ingawa sometimes sometimes kuna some goofy Eish and some Kid Corny shit inanifanya niseme what THE HECK But siwasahau na nawapenda all my facebook fans and thanks for Making My Page Number One Page in Tanzania as THE BEST FEMALE RADIO PERSONALITY Kuwa na LIKES NYINGI NA FOLLOWERS WENGI ON TWITTEr #VERY APPRECIATIVE.
DIVA GIVING FOR CHARITY IMENIPA MAFANIKIO MAKUBWA SANA YA KUONA Tunaweza badilisha Maisha pamoja.Deborah amebakiza Miezi mitatu amalize shule,Sorry for her LOSS Na As a Mother nilieuvaa moyo niko nae bado na nitakuwa nae mpaka Mwisho Inshaallah Mungu atuongoze na Kuendelea kuwa na Moyo wa Kusaidiana as in kutoa ni Moyo na sio Utajiri.
Nishawahi kuona watu wanalia kisa wameniona na nililia as well kisa nimewaona wao wamelia kisa wameniona,love for children,love for other People around menifanya niwapende kila Nukta ya Uhai wangu as A Diva...............................................Ahsanteni Kwa Machozi yenu.Mapenzi nipatayo ni Makubwa sana kusema ukweli kuliko hate nipatayo kwa wenye chuki Bure. Nasema Inshaallah kwa kila kheri na shari.
Ahsanteni for kuwa Mashabiki nilikuwa Shabiki Pia i Understand The Feeling......Thank You Thank you ,Far too kind.
Trust Me nasikia Story Nzuri Nyingi nambaya Kuhusu Mimi lakini napenda sema Thank you kwa kupata muda wa kukaa chini na kuniongelea kwa baya na zuri.To me thats BLESSING.
Shukrani ya That kwa CLOUDS MEDIA GROUP......................THANK YOU YOU MADE ME.
My Program Manager Sebastian Maganga,My Boss Joe,My Mentor My PAPI Ruge Mutahaba.Captain G.Habash u mean the world to meB12 and .Mwanafa U The Reason I Behave lol.u more than a friend Ubarikiwe sana,Mh.Halima Mdee ilove you for your courage kila wakati na list ni ndefu...................Soudy Brown Gossip Cop,Hata sisemi Soudy you My Guardian Angel,My Team Makorokocho1love.....TEAM DIVA Oyoooooo 2013 Remember said it #MONEYTEAM
kama sijakutaja Nisamehe sana Jamani next time maana naanza ishiwa maneno sasa ila Moyoni wote nisiowataja Mna Special Place in My heart.
LAST BUT NOT LEAST
SPECIAL THANKS KWA ADAM MCHOMVU...........................The Girl you named DIVA Anakushukuru sana.
Forgive My ALTER EGO Sometimes guys...you know In Every Hero In this Planet Earth There's a LITO Bit Monster In you all.
Mlionikosea wote nimewasamehe kabisa kabisa sina ROOM YA CHUKI MOYONI MWANGU........Namshukuru sana SALAMA J. Taught Me that.
BASI SAWA............................Thanks and Kisses
yours lovely
Diva
Related Posts:
Prof. Lipumba na timu yake kwisha kazi., Mahakama yawapa ushindi kina Mtatiro Na Julius S. Mtatiro Mahakama kuu Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo tarehe 10/10/2016 imetoa ushindi kwa Chama cha Wananchi (CUF) kwa kutoa kibali cha kisheria kwa chama kuwasilisha ndani ya siku 14, kesi … Read More
Kama na wewe unapenda sana Selfie, basi umekumbwa na tatizo hili Wanasayansi wameonya kuwa wale ambao hupenda kujipiga selfie mara kwa mara, wana hatari ya kuwa wapweke.Wanadai inaweza kuwa ni ishara ya kuwa na matatizo kwenye mahusiano yao au tatizo la afya ya akili. Wanaojipiga sana … Read More
Video: Alikiba adai ana wasiwasi alifanyiwa figisu figisu na team Diamond kwenye tamasha la Mombasa Rocks Hatimaye Alikiba ameeleza sababu ya kukatizwa kwa show yake kwenye tamasha la Mombasa Rocks ambalo Chris Brown pia alitumbuiza. Kwenye tamasha hilo, Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia k… Read More
Brand new Audio: Linah - Kosa Sina Mwana dada mkali wa sauti Tanzania, ukipenda mwite ndege mnana Linah Sanga , ametuletea wimbo wake huu mpya unaitwa Kosa sina. Amekupa ruhusa ya kudownload hapa … Read More
Jerry Muro Avunja Ukimya Nimesoma hoja za wadau tangu juzi na jana, nimeona na kujifunza mengi sana kutoka kwa waliokuwa viongozi wa yanga na wadau wa yanga kuwepo kwa tofauti ya mitazamo ni jambo la afya katika uhai na maendeleo ya Yanga hilo… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment