January 05, 2013

                                                              Lady  Queen

          Msanii  wa   muziki   wa  kizazi   kipya  toka  Dar  Es  Salaam   anayefahamika  kwa  jina  la  Lady  Queen amesema  anatamani  kufanya  wimbo  mmoja  na  msanii  wa  muziki  huwo  toka  mkoani  Morogoro  mwana  dada  Dayna  Nyange.
  
       Akizungumza  nami  kwa  njia  ya  simu  Queen  amesema  wimbo  wake  wa  sasa  unaoitwa  Lonly  tayari  amesambaza  sehemhu  kubwa  japo  ni mgeni  wa  mambo  hayo
 
     '' Wasnii  wa kike  nnaovutiwa  nao  kufanya  kazi  kwanza ni  Dadaangu  Dayna  Nyange wa n ivute  kwako,  kiukweli  nimevutiwa  sana  na  uimbaji  wa  dayna,  anajitahidi  na  nimesikiliza nyimbo  zake  nyingi  ana  sauti  nzuri  naamini  nikifanya  nae  wimbo  hatoniangusha''.  Amesema  Queen  licha  ya  kusema  anavutiwa  na  wasanii wengine kama  Lady  Jay  dee

 
  Dayna  moja  ya  pozi  zake

Related Posts:

  • Jaribio la dawa mpya lazua maafa Ufaransa Jaribio la dawa mpya nchini Ufaransa limemwacha mtu mmoja akiwa hana fahamu huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya. Jaribio hilo lilifanywa na mahabara ya kibinafsi katika mji wa mgaharibi wa Rennes. Kufikia sasa Jarib… Read More
  • Watu weusi waachwa nje tuzo za Oscars   Filamu ya The Revenant inaongoza kwa kushindania tuzo vitengo vingi     Waigizaji na waelekezi wa filamu watakaopigania tuzo kuu za sanaa duniani za Oscar wametangazwa na kwa mwaka wa pili haku… Read More
  • Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa     Matokeo ya kidato cha pili 2015 yametoka. Ubalozini.blogspot.com tunakuletea kwa ukaribu zaidi matokeo hayo hapa,   Bofya hapa kupata matokeo ya kidato cha pili 2015 … Read More
  • Rais aondoa marufuku ya nyweleMarufuku hiyo ilikuwa imetolewa mapema mwezi huu Rais wa Gambia Yahya Jammeh ameondoa agizo la kuwataka wafanyakazi wa kike serikalini wawe wakijifunika nywele wakiwa kazini. Marufuku hiyo, iliyotolewa tarehe 4 Januari, … Read More
  • Rais Magufuli afuta hati za mashamba Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli amefuta hati za mashamba matano makubwa yaliyokuwa na hati za miaka 99 chini ya umiliki wa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ambayo yamebainika kuw… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE