February 11, 2013

 

   Msanii  wa   muziki   wa   kizazi    kipya    mwana  dada  Dayna  Nyange  mkali   wao   toka  kundi   la  wakali  crassic.  anataraji    kuwapelekea    wakazi  wa  Mtwara   wimbo  wake  wa  Leo.  Dayna  atafanya  onesho    katika    ukumbi  wa    NEW  MAISHA  CLUB Mkoani  Mtwara  usiku  wa  wapenda  nao. Pia  ataimba  nyimbo  zake  zilizopita   kama  Mafungu  ya  nyanya,  fimbo  ya  mapenzi,  nivute  kwako   huku  akiutambulisha  rasmi   wimbo  wake mpya  wa  Leo  aliomshirikisha  Mr: Blue

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE