April 16, 2013

 
 Kama  hujaipata hii,  leo  tangu  asubuhi kuna  story  zimezagaa  kwamba, Dada  yetu  mpendwa  , msanii  toka  Bongo  Move  miss  Tanzania maarufu,  Wema  Setu  alimpigia  simu  Diamond mpenzi  wake  wa  zamani ili  warudie  enzi  zile.

  Baada  ya  maongezi  hayo,  ndipo  mzazi  Diamond alipoanza  kufanya  Recording  na  inasemekana  amesambaza  sauti  hiyo  ya  wawili hao  wa  zamani. 

    Skia  hapa.  kwa  hissani  ya  makolokocho


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE