May 06, 2013

 
RUGE  MUTAHABA

     Leo  kupitia  kipindi cha Power Breakfast  kinachorushwa  na Clouds Fm,  mkuirugenzi  wa  vipindi  na  utafiti  wa  Clouds  fm  Ruge  Mutahaba  alifunguka  na  kutoa  ufafanuzi  juu  ya  tuhuma  zinazoelekezwa  kwao  toka  kwa  mwanamuziki  Ladya  jay  dee
                                               Lady  Jay  Dee
 
  ''As a country we need to discuss issue kwa maendeleo ya nchi, tuachane na ku-discuss ishu hizi kama personal issue.
Ni kweli kwamba tulikuwa hatutaki kulizungumzia hili na hata sasa, ila kutokana na msukumo ladba ni vizuri kuliongelea, ila uamuzi ulikuwa ni wetu kama tuongee au tusiongee.
 ''Sometimes unahisi unahitaji kusikia upande wa pili, kwa binadamu yoyote, kwa maana kuna watu ambao wanaishi mbali na hapa mjini kama Kigoma nao wanapenda kujua juu ya swala hili kwa upande wa pili likoje''.
 Skiliza  zaidi  hapa
 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE