June 03, 2013



Albert  Mangwea enzi za uhai wake

    Katika  hli isiyo ya kawaida kutokea hasa ndani ya Club, usiku wa jana katika Club maarufu nchini Tanzania Club Bilicanas  mambo yalionekana tofauti isiyo ya kawaida katika hali iliyoashiria msiba uliolikuta taifa katika anga ya Burudani baada ya kuondokewa na msanii mkongwe Albert Mangwe aliyefariki nchi Afrika kusini Jumaanne iliyopita.
 
    Katika ukurasa wake wa Facebook,  Dj maarufu wa club  hiyo Dj  Ibra ameandika

                                    Usiku wa Leo Jumapili Ilikuwa Hakuna Msanii yoyote ndani ya Club Bilicanas kama Ilivyozoeleka Siku zote za Jumapili,Ila Kilichofanyika ni Disco tu then tulitoa Nafasi kwa Mtu yoyote apande kwenye Stage kuimba wimbo wowote wa Marehem Mangwea,Ilifanyika Hivyo kwa Wanaume na Wanawake, Ilikuwa poa sana Coz watu walijitahid kuimba vizuri Nyimbo za Marehem Mangwea then tulisimamisha Disco kwa Dakika Moja na Kupiga kimya watu wote In the House.
REST IN PEACE JEMBE LETU ALBERT MANGWEA.


Ni maneno ya Dj Ebrah  wa  Club  Bilicanas  katika ukurasa wake wa Facebook.


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE