June 14, 2013

33c2e-wak 

   Mazishi ya mwanamuziki maarufu wa Hip  Hop  Langa M Kileo aliyefariki jana, yanatarajiwa kufanyika siku ya jumaa tatu katika makabuli ya Kinondoni. Langa alifariki jana jioni katika Hospital ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa na Marali na Homa ya uti wa Mgongo

 
 Langa enzi za uhai wake
Mungu amlaze pema peponi.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE