August 08, 2013

 Hapa ndiyo nyumbani  Park Kihonda  Bima
Afande Sele na Madee
  Ni katika kusherehekea  sikukuu  ya  Iddi el fitli, ndani ya Nyumbani Park Kihonda BIMA, Mfalme  wa Rhymes Tanzania Afande  Sele akiwa na Watu poli, Rais wa Manzese Madee pamoja na Sameer watafany bonge la show ya pamoja ndani ya jukwaa moja uwnja wa burudani Moro ni Nyumbani PARK.
Show itaanza mchana kwa disko toto kwa kiingilio cha Tsh:1000/= na usiku ni show ya kiutuuzima kwa kingilio cha Tsh:6000/= Sote ni kwetu, Familia moja, njoo Nyumbani Park Kihonda

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE