Baada ya kupotea kwenye muziki kwa muda mrefu sana Crazy Gk amerudi kwa kishindo na kuzindua wimbo wake mpya huku akisindikizwa na timu ya East Coast Team.
Sababu kubwa iliyopelekea King Crazy Gk kupotea kwenye game kwa muda mrefu ni kwamba msanii huyu alikuwa kwenye masomo akitafuta degree.
Hii ndiuyo ngoma uyake mpya.
Simba yamrejesha Mwinyi Kazimoto
Kiungo wa klabu ya Al Markhiya ya Qatar, Mwinyi Kazimoto Mwitula (pichani) amerejea klabu yake ya zamani, Simba SC.
Habari ambazo hazijathibitishwa na upande wowote, zinasema kwamba Kazimoto amesaini Mkataba wa mia…Read More
Yametimi:Obama awasili nchin Kenya
Rais Barack Obama
Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatt…Read More
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za
muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa
Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na …Read More
Mamlaka ya Bandari Tanzania yasaidia wana habari
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (PTA),
Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya
sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment