August 31, 2013


Diva-2
Diva ametweet ujumbe kwa Mh. Zitto Kabwe akionesha kuushanga uamuzi wake wa kuitangaza tour hiyo hadharani na kwamba hiyo ni idea yake kwa kuwa yeye ndiye wa kwanza kukaa na kampuni ya Kigoma All Stars na kuzungumza nao kuhusu idea hiyo.

Hiyo ni moja ya tweet nyingi za Diva za kudai haki yake juu ya wazo lililozaa ziara hiyo ambayo Zitto alisema itaanzia Kigali Rwanda na kumalizikia Dar es salaam kuanzia November hadi December 2013.
Katika Tweet nyingine Diva amesema ana vielelezo vyote vinavyothibitisha kuwa idea hiyo ni yake zikiwemo barua pepe alizokuwa akiwatumia, na kwamba tayari ameshaongea na Zitto ‘privately’ lakini mheshimiwa anamletea siasa.
Hizi ni baadhi ya tweet hizo zilizoandikwa na Diva

“ @zittokabwe you guys needs to be professional. How can you still my idea, my peace of mind and kwenda public bila kunihusisha? Are u that smart?”

“ I told @zittokabwe to give out credits where its due and ameona haitakuwa sawa, sitaki pesa. No, ukweli
“ I started all this and mkurugenzi wake anajua, so as far as hatakuwa wazi kutoa credits sitakaa kimya this time @zittokabwe”
“ I told him 5minutes zilizopita very privately that I don’t need money I need my credits kakataa , its my thing.”
“ Nimeongea na private ananiletea siasa , in my idea, I stand for what’s right. He is my role model , I respect him but hii ni reality”
“My dad is a huge fan of zitto , My Dad is my hero, he taught me zamani, money ain’t a thing, Appreciation is”
“This is the 2nd time, ya Tanga pia and sijafaidika anything , acting smart RT @tsuyotshi: @DivaTheBawse @zittokabwe Girl power!!!pole sana”
“I told @zittokabwe to give out credits where its due and ameona haitakuwa sawa, sitaki pesa. No, ukwel”
“I have the emails and evidence in this. You don’t walk away with this, never on earth. “
“ He wanted all this, terms and conditions alizivunja. I did it the right away. No hate, Ni haki ya msingi.”
“ I’m the female version of Zitto Kabwe, he made me this way. Forever thankful, very confident, I’m realist just like him”
“ Mila na desturi za kitanzania, you say Thank You, I really Appreciate and you did well. That’s all”
“They owe me a word Thank you, They will never walk away with a word thank you, That’s a favour. Bhasi, thank u”
Katika twitter za Diva kitu kikubwa alichoonekana kukihitaji katika swala hilo sio pesa bali ni ‘credit’ na shukrani tu akiwa kama mtu aliyetoa wazo hilo kwa mujibu wake.

Related Posts:

  • Mfalme wa Saudia, ziarani Urusi   Mfalme Salman wa Saudi Arabia amewasili Moscow, ikiwa ni ziara ya kwanza kwa mtawala wa kifalme wa nchi hiyo kutembelea Urusi. Katika ziara yake hiyo, atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Vladmir Putin, ikiw… Read More
  • Aslay aiteka Morogoro , Samaki Spot   Mkali wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa sasa toka Dingi Int. Aslay Isihaka, wikendi iliyopita aliiteka Morogoro pale alipopiga bonge ya show katika ukumbi wa Samaki Spot mkoani Morogoro. Aslay alionekana ku… Read More
  • Hamisa Mobetto kuwania tuzo za South Africa Mwanamitindo, Hamisa Mobetto amepata shavu kwa kutajwa katika msimu wa nne wa tuzo za Starqt Awards zinazohusisha biashara, mitindo, burudani na vitu vingine. Hamisa ametajwa katika tuzo hizo kwa kuwania vipengele&nb… Read More
  • Penzi la Wolper na Brown chali?   Duniani kuna mambo, Ile couple ya Amber Rose na 21 Savage ya Bongo inayomuhusu muigizaji wa filamu  Jackline Wolper na Brown dezaini kama limekufa hivi. Wawili hao ambao walionekana wakiwa wameshibana kima… Read More
  • Huu ndiyo utajiri wa Mwanamuziki AY Msanii wa Bongo Flava, Ambwene Yessaya au maarufu kama A.Y ni moja kati ya wasanii waliopata mafanikio makubwa sana kwenye soko la mziki nchini Tanzania. A.Y ambaye alianza mziki na bado yupo mpaka leo tangu miaka ya 9… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE