Mshiriki wa Big Brother House Feza Kessy ametolewa muda huu katika
mjengo akiwa Mtanzania wa mwisho aliyesalia kwenye nyumba hiyo.
Hii imekuja wiki moja tangu Mtanzania mwingine, Nando alopotolewa katika jumba hilo, juma lililopita, Feza Kessy ndiye mshiriki alibakia na sasa amefunga lasmi Pazia la ushiriki wa Tanzania katika jumba hilo.
Hii imekuja wiki moja tangu Mtanzania mwingine, Nando alopotolewa katika jumba hilo, juma lililopita, Feza Kessy ndiye mshiriki alibakia na sasa amefunga lasmi Pazia la ushiriki wa Tanzania katika jumba hilo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment