Poetry
Addiction au Uraibu wa ushairi unaweza kutumia lugha ya kiswahili kama
ukipenda. Mara ya kwanza ilifanyika pale Triniti ikiwahusisha wasanii
kama Damian Soul,Wakazi,Chidy Benz,Fid Q mwenyewe na wengine. Fareed
Kubanda ametangaza ujio mwingine wa Poetry Addiction ambayo itafanyika
31 mwezi wa huu(8) palepale Triniti Oysterbay. This time kutakuwa na
wasanii kama Fena Gitu a.k.a Fenamenal kutoka Kenya,Avid,Cliff
Mitindo,Henry The 1st,Lufuz,Masharkanz,Damian Soul,Fid Q mwenye na kuwa
hosted by Ncha Kali. Time ni saa mbili hadi saa saba usiku kwa kiingilio
cha Tsh 10,000.
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment