August 19, 2013

Hatimaye beki wa kimataifa wa klabu ya Simba na timu ya taifa ya Tanzania Shomary Kapombe amefuzu majaribio aliyokuwa akifanya barani ulaya kwa kufanikiwa kujiunga na klabu ya AS Cannes ya Ufaransa.
   Kwa mujibu wa  Ismail Aden Lage , kapombe ameuzwa kwa mkopo nchini umo kwa Club  hiyo inayoshiriki ligi daraja la nne nchini humo.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE