Wasanii wa tasnia ya mziki wa bongo Fleva, Dayna Nyange, PNC, Izzo B na wasanii wengine, leo wamenusurika kufya kufwatia gari waliyokuwa wakisafilia kupata ajali maeneo ya Buhongwa Mwanza, kwa mujibu wa msanii Dayana Nyange amesema, walikuwa wakitojkea kwenye show Geita iliyoandaliwa na Radio Free Africa ndipo walipofika maeneo ya Buhongwa gari yao aina ya Coasta, kapata ajali na msanii Filbert Kabago, amejeruhiwa.
WATANZANIA KUNUFAIKA ZAIDI NA FURSA ZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI
-
-Ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza ushiriki wa Watanzania katika Sekta
ya Madini
Dar es Salaam, Julai 10, 2025
Tume ya Madini imejipanga kwa dhati ...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment