September 04, 2013


Sheddy Clever
  Kufuatia sakata la  Dayna na Diamond, juu ya Diamond kumwibia BT Dayna, producer wa nyimbo hizo, toka Burn Records, Shedy Clever amekili hilo. Kupitia  AC ya facebook ya East Africa Radio wameandika 
DAYNA VS DIAMOND

Baada ya msanii Diamond kutuhumiwa kuiba beat ya msanii Dayna, Producer wa ngoma hiyo Sheddy Clever amekiri kweli hiyo ilikuwa project ya zamani ya Dayna ndio maana aliamua kumpa Diamond ila amesema kabla hajaitoa alimjulisha Dayna na akakubali ila anashangaa sasa anamgeuka.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE