September 17, 2013

Diamond akifanya makamuzi katika fiesta 2013 ndani ya uwanja wa michezo wa jamhuri Morogoro, katika tamashala hilo Diamond hakushangiliwa sana tofauti na matamasha mengine ambayo nimewahi kumshuh
Full kujiachia
Linah akiwajibika na shabiki wake, yeye anapata alama sita.

 
Stamina akighani mashairi ya hip pop wakati wa tamasha la fiesta ndani ya uwanja wa jamhuri Morogoro, msanii huyu kwa upande wangu ndiye niliona amekonga nyoyo za mashabiki katika fiesta hilo kutokana na kupewa sapoti kubwa na mashabiki pindi alipokuwa akiwaeleza jambo kupitia kipoza sautu, are red !!!!! yessssssss !!! kwa sauti nyingi tofauti na wasanii wengine. anashika nafasi ya kwanza.
              Ney wa Mitego akiwapagawisha mashabiki katika tamasha hilo.
 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Samir akitoa burudani kwa mashabiki waliofurika katika tamshala la fiesta 2013 katika uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro


       Dj Ziro akiwajibikwa kwa kuhakikisha nyimbo zinakwenda vizuri
                 Huyu ni Dj Mully B Akipagawisha usiku wa Fiesta Morogoro

Katika tamasha hilo wasanii walioonekana kufanya vizuri ni , Stamina, Darassa, Niki wa pili, Dully , Nature, Afande na  Nay wa mitego.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE