September 06, 2013

Na Rama Ngozi -Dodoma


Msikiti mkubwa wa Answar Sunna  uliopo  barabara ya saba mjini Dodoma  umewaka  moto  mchana wa leo  ikiwa  ni  muda  mfupi  baada  ya  swala  ya  mchana  kumalizika....

Akiongea  kwa  njia  ya  simu  toka Dodoma shuhuda wa tukio  hilo  amedai  kuwa  chanzo  cha  moto  huo  ni  moto wa  JIKO  la  wakazi  wa    ghorofa ya  juu  ya  jengo  la  msikiti  huo...
 
 
Kwa  mujibu  wa  shuhuda wetu, moto  huo  umefanikiwa  kudhibitiwa  na  jeshi  la  zima  moto  na  kwamba  hakuna  mtu  aliyepoteza  maisha  kutokana  na  moto  huo.
     
Taarifa  na Picha na Rama Ngozi Dodoma

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE