September 18, 2013


Ommy Dimpoz akiwa na mwenyeji wake DMK uwanja wandege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia mara tu alipowasili kwa ajili ya show Jumamosi Sept 21, 2013 DMV.itakayofanyika KAMA Lounge address ni 11472 Cherry Hiil Rd, Beltsville, MD 20705
Ommy Dimpoz akiwa na Missy T
Ommy Dimpoz akiwa ndani ya Limo akitokea uwanja wa ndege wa kimataifa Dulles.
Omary Faraji Nyembo aka Ommy Dimpoz baada ya kuwasili Marekani jana na kupokelewa na wenyeji wake.Ommy Dimpoz anatarajiwa kufanya show ya kwanza Jumamosi ya wiki hii Washington DC, itakayofuatiwa na show ya pili Houston September 28 na show ya tatu Los Angeles October 5 kisha atarejea Tanzania kwaajili ya fainali ya Serengeti Fiesta.

Related Posts:

  • Familia ya Lissu waitaka Polisi kushughulikia swala la Lissu   Familia ya mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, aliyejeruhiwa na watu wasiojulikana katika shambulia la kujaribu kumuua, wamelitaka jeshi la polisi kutumia ubalozi wa Tanzania nchini Kenya ili kumpata Dereva wa… Read More
  • Kisarawe wazindua Opereheni ya Ondoa Zero   Mkuu wa Wilaya Mh:Happyness Seneda akizungumza jambo    Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, imezindua Opereshini maalum ya kuhakikisha wilaya hiyo inakuwa ki elimu. Operesheni ondoa zero Kisarawe imezindu… Read More
  • IGP Sirro ataka mjadala wa Tundu Lissu ufungwe Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro ametaka mjadala kuhusu kupigwa risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ufungwe mara moja. Agizo hilo amelitoa leo akiwa ziarani jijini Mbeya wakati akizungumza… Read More
  • Diamond aburutwa Mahakamani na Hamisa Mobetto Mwanamitindo Hamisa Hassan Mobetto amemfungulia kesi ya madai mzazi mwenzie, Msanii Naseeb Abdul @diamondplatnumzkwa madai ya kushindwa kumuomba radhi pamoja na kutotoa fedha za matunzo ya mtoto wao, Abdul Naseeb Juma.… Read More
  • Huu ndiyo utajiri wa Mwanamuziki AY Msanii wa Bongo Flava, Ambwene Yessaya au maarufu kama A.Y ni moja kati ya wasanii waliopata mafanikio makubwa sana kwenye soko la mziki nchini Tanzania. A.Y ambaye alianza mziki na bado yupo mpaka leo tangu miaka ya 9… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE