September 16, 2013


 
Mwana dada Rachel akonga nyoyo za mashabiki Moro.
 Sehemu ya mashabiki wa tamasha la serengeti fiesta 2013 wakishangilia vilivyo usiku huu. 
Kushoto ni Alnord Kayanda na kulia ni Mpoki wakiwa na wadau wengine, Noma sana
Shilole akikomaa na Fiesta kwa watani zake Moro.

 Serengeti fiesta 2013 ni noma saaana usiku huu,kausheni tuu.!
 
Anaitwa DJ Zero, makini kazini.

Maelfu ya mashabiki Moro, wakifwatilia Tamasha la Fiesta
Linah toka T H Takifanya poa jukwaan i.
 
 
 Ni burudani asilimia mia kila kona ya uwanja wa jamhuri  Noma sana.
 
 Ni zao lingine la vipaji kuåitia shindano la Serengeti Fiesta supa nyota 2012,ambaye kwa sasa anafanya vyema sana katika muziki wa bongofleva,anaitwa Neylee akiimba 
 
 Wadau wakifuatilia yanayojiri kwenye jukwaa la serengeti fiesta
 
Boss Seba Maganga mwenye miwani na kikosi chake wakijumuika na wakazi wa mji kasoro bahari. Noma sana

Pichani kati ni msanii Rachael na skwadi lake wakilishambulia jukwaa la fiesta usikuwa kuiamkia leo Mjinio Hapa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE