September 28, 2013


  Zao la Fiesta super Nyta  2013 Neylee, ambaye kwa sasa anafanya vyema sana kwenye anga ya muziki huo,akiimba kwa hisia mbele ya mashabiki wake  serengeti fiesta Mwanza

sehemu ya mashabiki wakifuatilia yanayojiri ndani ya uwanja wa ccm kirumba,ambapo tamasha la serengeti fiesta likirindima
Msanii wabongofleva akicheza na shabiki wake jukwaani
 
Mashabiki wakishangweka kwa raha zao huku jukwaala fiesta likiwaka moto
Kundi la Wasanii mahiri wa kuimba na kucheza kutoka THT,wajiitao Makomanda wakitumbuiza  ndani ya uwanja wa CCM Kirumba,ambapo tamasha la Serengeti fiesta 2013 likiendelea.
  Kama humjui jina lake  anaitwa  Zuwena  Mohammed maarufu  Shilole akiimba mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake ndani ya tamasha la Serengeti fiesta 2013,ndani ya uwanja wa ccm kirumba usiku wa  kuamkia  leo
Anaitwa Christian Bella ambaye alikuwa akifanya vyema sana kwenye bendi ya muziki wa dansi ya Acudo,akiwaimbisha mashabiki wake usiku wa  kuamkia  le ndani ya tamasha la serengeti fiesta 2013.
Mkali  wa hip hop,ambaye amekuwa akifanya vyema sana kwenye anga hizo,Kalla Jeramiah akishusha mistari mikavu mbele ya mashabiki wake

Mwanza Mwanza Wako live kinoma ,huku mayowe na miluzi ikiwa imetawala kila kona ya uwanja.  Nowma sana
ji la Mwanza wamejitokeza kwa wingi.
 



Mashabiki wa fiesta kibao usiku huu ndani ya ccm kirumba.
Vuta rahaa hakuna maneeeee.....manenooooo
Mtangazaji wa Clouds Paul James na wadau wake wakifuatilia yanayojiri ndani ya tamasha la serengeti fiesta usiku  wa   kuamkia leo ndani ya ccm kirumba.
 
kwa  Hisani ya Ahmadi Michuzi

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE