January 30, 2014


    Mbwana Samata, mshambuliaji anaeichezea klabu ya TP Mazembe, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2013 wa klabu hiyo ya TP Mazembe.
Mbwana alipata kura nyingi zaidi, kuwashinda wenzake, ambao kwa mujibu wa tovuti ya TP Mazembe, yeye alipata pointi 248, huku nafasi ya pili ikishikwa na Asante Solomon aliepata kura 219.
Ulikuwa ni mwaka wa mafanikio pia kwake, pia akiwa na kumbukumbu ya kutajwa kati ya wachezaji  ambao wanawania tuzo za Wachezaji wanaocheza barani Afrika, nakuchujwa baadae.
Zaidi ya hiyo, ameisaidia timu yake ya TP Mazembe katika michuano ya ndani na kimataifa, bila kusahau msaada pia aliuutoa kwa timu yake ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE