“Ni video ya kawaida kabisa na
nimeicheza mwenyewe na wacheza shoo wangu.Nilifanya hivyo baada ya video
yangu ya ‘Majanga’ kulalamikiwa kuwa sikucheza. Imeniuma sana video ya "Nimevurugwa"
kufungiwa na BASATA kuonyeshwa kwenye TV bongo wakati kama kukatika ni
tamaduni yetu watanzania kuna video kibao za nje za ovyo kabisa wanavaa
nusu uchi ila azifungiwi"
POZI LA LEO HII.
Frank Nasilu Balali
Anaitwa Frank Nasilu Balali , mdau na mwana familia wa Ubalozini. Ili ndiyo pozi lake katika picha yake leo hii. Kama nawe una picha yenye pozi na unat…Read More
KUTOKA TANGA KWENYE FIESTA
Msanii mkongwe wa muziki wa bongofleva,Juma Nature akiwa amepozi na mwanadada Linah Sanga
Michuzi wa michuzijr.blogspot.com ,Mtangazaji
wa Clouds Fm kupitia kipindi cha XXL B Dozen na Mzaramo wa…Read More
SIWEZI KUSAHAU SHEMEJI ALIVYONIINGIZA MATATIZONI
-
Kamwe siwezi kusahau miaka kama sita iliyopita ambapo shemeji yangu
alinifungulia kesi mahakamni kuwa nilitaka kumbaka jambo ambalo sio la
kweli na wala s...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment