
Kwa mwanamke wa leo sasa, hatongozwi ila anabanduliwa kirahisi bila hata kumdanganya kitu yaani ukipata nafasi ya kutoka nae out na kumpa vibia viwili vitatu kwisha kazi unaua siku hiyo hiyo. Si mke wa mtu wala asiyeolewa. Hadi tunajiuliza au mnangoma ndo mnataka mtuambukize?? Kunanini hapa wadau au mtausingizia tena utandawazi? Jirekebisheni bhana, msikubali haraka haraka Bana....
0 MAONI YAKO:
Post a Comment