February 22, 2014

Ayodeji Ibrahim Balogun aka Wizkid, amekuwa msanii wa kwanza wa Naija kufikisha wafuasi millioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.

Msanii huyo mwenye umri wa miaka 23, amefikisha idadi hiyo Februry 19, 2014 huku akiwaacha wasanii wenye majina makubwa na waliotangulia kufahamika kwenye game duniani kabla yake.

D’Banj anafuatia akiwa na wafuafi zaidi ya 816,000, Don Jazzy 719,000, 2face Idibia 686,000 na muigizaji wa kike Genevieve Nnaji 542,000.

Related Posts:

  • Tumekuwekea hapa magazeti ya leo alhamisi january 21 Habari za leo hii ndugu mdau wa Ubalozini.blogspot.com. Karibu katika magazeti ya leo  January 21, 2016, upitie japo kwa vichwa vya habari vilivyobeba uzito katika magazeti hayo. Share na marafiki … Read More
  • Anti Sadaka awafunda wanawake           Mwanasaikolojia Anti Sadaka akitoa Mada kwenye Mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa Mkoa wa Mwanza yanayoendesha na  Taasisi ya Manjano foundation yanaoen… Read More
  • Magufuli ampa kazi Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (Chancellor of the Univ… Read More
  • Lowassa aibukia CCM        JINA la aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, limeibuka ndani ya vikao vya wabunge wa CCM vilivyofanyika mjini Dodoma kati ya … Read More
  • Wafanyakazi waruhusiwa kutumia bangi wawapo kazini               Kampuni ya #Flowhub inayojishughulika na uzalishaji, imewaruhusu wafanyakazi wake kuvuta bangi wakiwa kazini. Wamiliki wa kampuni hiyo, Kyl… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE