
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 23, amefikisha idadi hiyo Februry 19, 2014 huku akiwaacha wasanii wenye majina makubwa na waliotangulia kufahamika kwenye game duniani kabla yake.
D’Banj anafuatia akiwa na wafuafi zaidi ya 816,000, Don Jazzy 719,000, 2face Idibia 686,000 na muigizaji wa kike Genevieve Nnaji 542,000.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment