February 12, 2014

 
  Staa nguli wa muziki wa Kibongo,Rehema Chalamila,Ray C amefunguka kupitia mtandao wa instragram kuwa anatarajia kuonekana tena jukwaani hivi karibuni baada ya kuwa likizo kwa nuda wa mwaka mzima.
Ray C aliandika hivi Naimiss steji vibaya mno,likizo ya mwaka mzima alhamdullilah,Mungu ni mwema sana,asante kwa afya baba yangu muda si mrefu ntarudi Kazini na uhakika mashabiki wangu wapenzi mmenimiss sana,’alisema Ray C.
Ray C aliongeza kila kitu tayari kimeshapikwa bado tu kuwaambia lini tu but niombeeni heri wapenzi wangu najua sana mmeimiss sauti ya Ray C All over the world jinsi ninavyowapenda na jinsi mlivyoniombea zawadi Kama kumi hivi nimewaandalia mtashauaje sasa kama nawaona vile Bila nyie hakuna Ray C Thank you so very much guys My fans!My everything Nawapenda mno,’aliongeza Ray C.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE