March 04, 2014


Ray C and Lord Eyez 
Aliyekuwa mpenzi wa rapper Lord Eyez, mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C amezungumzia kuhusu sakata la wizi linalomkabili rapper huyo ambaye ni member wa group la Nako 2 Nako Soldiers.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram Ray C amefunguka kama ifuatavyo:
                                            20140304-184252.jpg

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE