Wachezaji na viongozi wa tinu ya Yanga, wamepata ajali maeneo ya Mikese nje ya manispaa ya Morogoro kufuatia Bas walilokuwa wakisafilia kupinduka. Katika ajaki hiyo hakuna majeruhi wala mtu kufariki. Chanzo cha ajali ni mabas yaendayo bara kuziba njia
TAWA YAKABIDHI BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI MCHENGERWA, RUFIJI
-
Na Beatus Maganja, Rufiji, Pwani.
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhi rasmi bweni
jipya la wasichana katika Shule ya Sekondari...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment