March 09, 2014



KIJANAAJIUA5

1 
  Hii ni habari ya kushangaza kabisa na pengine ni kwa mara ya kwanza kusikika kuhusu abiria aliyejichinja kwa makusudi ndani ya Basi akitokea Lindi kwenda Dar es salaam kwenye basi la kampuni ya Maning Nice.
Basi hilo lenye namba za usajili T574 CQD ambalo linafanya safari zake za Dar es salaam na Mtwara saa 6 mchana lilitoa nafasi  kufanya mahojiano na  dereva Rashidi Mohamed ambae alikuwepo kazini siku ya tukio na ndio shahidi wa kwanza wa hili tukio.

Story zaidi na  millardayo.com

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE