March 06, 2014

 Kareem Omar KO akiwa kzini
   Sikuya jana nilipata fursa ya kutembelea kituo cha Radio kinachokimbiza sana mjini Morogoro Abood Radio  89.7 fm. Niliweza kushuhudia jinsi ya urushaji wao wa matangazo na kufanya nao mahojiano kuhusiana na maswala ya blogs hasa blog ya Ubalozini.
  Nilikuwa na kaka mkubwa Kareem Omar KO mtangazaji wa Kipindi cha Mega MIX, moja ya wana harakati waliosaidia sana kukua kwa vipaji mkoani hapa kabla ya kuondoka na hatimae kurudi tena Moro.
 Hapa ni mimi na KO baada ya kazi
 Nikiwa na Dee Jay Bernet alitisha sana
  Pia Dee jay mwenye kiki mkoani Morogoro na sehemu zinaposikika sauti  za Abood Radio hotobisha kuhusu huyu jamaa ni Dee Jay Bernet, Dee jay ambaye kiukweli huwa nakubali sana na kutambua kile anachokifanya.
Dee JAY Bernet akifanya yake
 Saluti kwako Mzazi Kareem Omar KO kwa kuutambua umuhimu wangu na wa blogs kwa jumla, pia kaka mkubwa   Dee Jay Bernet endeleeni kukimbiza harakati mwanzo mwisho.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE